
Mwimbaji huyo wa Barbados, jana aliweka picha za utupu katika mtandao wa Instagram, lakini wamiliki wa mtandao huo waliziondoa picha hizo kwasababu zilikiuka masharti yanayozuia watumiaji kutoweka picha za aina hiyo katika mtandao huo.
Chanzo kiliuambia mtandao wa TMZ kuwa Instagram licha ya kuziondoa picha hizo pia walimtumia barua pepe ya kumuonya vinginevyo watamfungia kutoutumia mtandao huo.
Hata hivyo Riri bado aliendelea kupost picha hizo katika mtandao wa Twitter.
0 comments:
Post a Comment