TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA ILI UPATE MAFANIKIO KWA HARAKA ZAIDI

TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA ILI UPATE MAFANIKIO KWA HARAKA ZAIDI
Home » » Hit song ya Vanessa Mdee “Nobody But Me” kwenye headlines tena South Africa!!

Hit song ya Vanessa Mdee “Nobody But Me” kwenye headlines tena South Africa!!

Vee Money
Good news mtu wangu! Mtu wetu Vanessa Mdee anazidi kufanya vizuri katika chati za radio countdown kwenye baadhi ya nchi za Africa, na leo hit song ya Vanessa MdeeNobody but me aliomshirikisha msanii kutoka South Africa K.O imeshika namba mojakatika countdown ya Africa Boom Box ya Y.Fm radio iliyoko South Africa. 
Vanessa Mdee anatarajia katajwa kutuwakilisha TZ kwenye category ya Best Female Artist katika tuzo za MTV Africa Music Awards 2015 ambazo tutazishuhudia muda si mrefu live kutoka South Africa.

Share this video :

0 comments:

Post a Comment

 
Support : Creating Website | WILLE Template | GOOGLE
Copyright © 2013. Dj Wille Zedon - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Mas Template
Proudly powered by Blogger