TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA ILI UPATE MAFANIKIO KWA HARAKA ZAIDI

TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA ILI UPATE MAFANIKIO KWA HARAKA ZAIDI
Home » » Mr Blue Asema kuwa Ameachana na Madawa ya Kulevya

Mr Blue Asema kuwa Ameachana na Madawa ya Kulevya

Msanii kutoka katika kundi maarufu la Micharazo Mr.Blue aka Byser amesema kuwa ameachana na madawa ya kulevya.

Mr Blue amehojiwa na kituo kimoja cha Radio na kusema " Nilikuwa natumia madawa ya kulevya hasa bangi lakini kwa sasa nimeacha kabisa, nilikuwa navuta misokoto mpaka mitano kwa siku lakini ni mwezi sasa sijavuta hata kidogo , Nimekuwa baba sasa na sio vizuri kuwa baba mvuta bangi, nimeacha     kabisa sasa nimebaki naangalia familia yangu "
Share this video :

0 comments:

Post a Comment

 
Support : Creating Website | WILLE Template | GOOGLE
Copyright © 2013. Dj Wille Zedon - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Mas Template
Proudly powered by Blogger