Mwenykiti wa CHADEMA, Mh Freeman Mbowe, Leo katika Mahakama ya Mjini Hai, amepatikana na hatia ya kumshambulia muangalizi wa kituo cha kupigia kura.
Amehukumiwa faini ya 1m au kifungo cha mwaka 1.
Watu waliofika mahakamani hapo wamechanga pesa hizo na kumlipia papohapo.
Ameondoka kuelekea Dar.
0 comments:
Post a Comment