TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA ILI UPATE MAFANIKIO KWA HARAKA ZAIDI

TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA ILI UPATE MAFANIKIO KWA HARAKA ZAIDI
Home » » Breaking Newzz...Mwenyekiti wa CHADEMA..Mh FREEMAN MBOWE apatikana na HATIA..ahukumiwa Mwaka mmoja JELA

Breaking Newzz...Mwenyekiti wa CHADEMA..Mh FREEMAN MBOWE apatikana na HATIA..ahukumiwa Mwaka mmoja JELA

Mwenykiti wa CHADEMA, Mh Freeman Mbowe, Leo katika Mahakama ya Mjini Hai, amepatikana na hatia ya kumshambulia muangalizi wa kituo cha kupigia kura.

Amehukumiwa faini ya 1m au kifungo cha mwaka 1.

Watu waliofika mahakamani hapo wamechanga pesa hizo na kumlipia papohapo.

Ameondoka kuelekea Dar.



                                        
Share this video :

0 comments:

Post a Comment

 
Support : Creating Website | WILLE Template | GOOGLE
Copyright © 2013. Dj Wille Zedon - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Mas Template
Proudly powered by Blogger