Dj willezedon blog inakupa taarifa kuwa kaa tayari kusikiliza kazi nyingine mpya ya kutoka Nigeria itakayomuhusisha msanii kutoka Tanzania Diamond Platnumz. Ni msanii Kcee amethibitisha kuwa amefanya wimbo na Diamond Platnumz na umepewa jina Love Boat. 16 June 2015 Saa Saba mchana ya Afrika mashariki wimbo utatoka na video ni baada ya wiki mbili .
Home »
» Kcee wa Nigeria amshirikisha Diamond Platnumz kwenye wimbo mpya ‘Love Boat’.
Kcee wa Nigeria amshirikisha Diamond Platnumz kwenye wimbo mpya ‘Love Boat’.
Posted by Dj wille zedon
Posted on 03:21
with No comments
Dj willezedon blog inakupa taarifa kuwa kaa tayari kusikiliza kazi nyingine mpya ya kutoka Nigeria itakayomuhusisha msanii kutoka Tanzania Diamond Platnumz. Ni msanii Kcee amethibitisha kuwa amefanya wimbo na Diamond Platnumz na umepewa jina Love Boat. 16 June 2015 Saa Saba mchana ya Afrika mashariki wimbo utatoka na video ni baada ya wiki mbili .
0 comments:
Post a Comment