TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA ILI UPATE MAFANIKIO KWA HARAKA ZAIDI

TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA ILI UPATE MAFANIKIO KWA HARAKA ZAIDI
Home » » Lowassa: Nitakuwa Rais, ama kupitia CCM au nje ya CCM

Lowassa: Nitakuwa Rais, ama kupitia CCM au nje ya CCM

                                    
 Mwanzoni,waziri mkuu aliyejiuzulu wadhifa wake kutokana na kuhusishwa kwake na ufisadi wa RICHMOND ,Baadhi ya watu wa karibu yake wakisema kuwa.."mzee anautafuta urais kwa udi na uvumba na ni lazima awe rais wa awamu ya tano",Tulifikiri kuwa maneno hayo ni ya wapamba tu na siyo yake.

Sasa imedhihika kwamba,maneno haya hayakuwa maneno ya uongo na kwamba,Lowasa ndiye alikuwa akiwambia wapambe wake ili watuambie sisi watanzania.Kwa nini?
           .

                       
 1. lowasa alipokuwa anatangaza nia alisema kuwa"mimi ndo niliyekuwa mwenyekiti wa wanmtandao 2005,na kwamba tulikubaliana kuwa baada ya rais kikwete kumaliza awamu yake ataniachia mimi"....

2.Akiwa singida,lowasa alisema kuwa "kama hataupata urais kupitia ccm,basi ataupata nje ya ccm"...

3.Akiwa musoma lowasa alisema "wana ccm na watanzania wenzangu,naomba mvumilie kidogo mpaka october,kwani baada ya uchaguzi kwisha mimi ndiye nitakuwa rais wenu"....

Ukiangalia kauli zake na matendo yake,Utagundua kuwa urais anautamani kwa gharama zozote zile na kwamba,yupo tayari kukigawa chama ..kwa makundi yake lakini awe rais.Yupo tayari kushirikiana na genge la mafisadi ili awe rais.
yupo tayari kugawa fedha ,rushwa na kuhaidi vyeo hata kwa watu wasio na staha ktk jamii ili awe rais.
Mfano:Katika mkoa wa mwanza hususa miji na vijijini amekuwa akiwatumia watu ambao kimsingi hawana staha katika jamii hata kidogo,lkn yeye anawaona wanafaa.

Baadhi ya wapambe wake mwanza mjini ni nzungu,masha,chegeni,lakairo,n a mabula ni watu ambao lowasa akiwa nao,Wanamwambia kuwa "mzee unakubalika sana na lazima uwe rais wetu".Lowasa anapoondoka,wapambe hawa wana sema "Sisi tupo naye kwa sababu ya fedha zake na siyo kingine".Wapambe hawa hawakubaliki kaatika jamii,kwani hawana staha mbele yao.Hivi chegeni ambaye ndiye mkurugenzi wa isamilo lodge anapowazulumu wafanyakazi wa hetel yake mishahara,anaweza kuwa na staha machoni mwao?.

Nzungu ambaye amezulumu kiwanja cha mwanamke mjane igoma,anaweza kuwa na staha machoni mwa jamii?.Mabula ambaye alimzulumu fedha rafiki yake kipenzi jack masamaki,anayo staha?.

Mbaya zaidi,wapambe hawa kwa kushirikiana na mfanyakazi wa CBE MWANZA CAMPUS na mwanafunzi wa CBE MWANZA,walipewa fedha na lowasa ili wakati anadhaminiwa aonekane kuwa watu wengi wanamuunga mkono katka safari yake ya matumaini,Lakini hawakugawa kabisa..walizitia ndani..wanayo staha?.

Pamoja na hayo yote,Bado Lowasa hakubaliki kabisa.Haiwezekani mtu asiye na staha ktk jamii akawa na wapambe wasiyo na staha ktk jamii waaminiwe na watanzania ili safari yake ya matumaini ifanikiwe.LOWASA,LOWASA..URAIS UTAUSIKIA KWENYE BOMBA,,,,,,,HUPATI... HATA MTENDAJI WA KATA HUPATI...Hata kuchunga ng'ombe huwezi kwani utawauza ng'ombe wote na utasema kuwa "mimi lowasa sikuiba ng'ombe ila nilipoona ng'ombe wanaibiwa ,nilitaka kuzuia wezi wasiibe lakini nilizuiliwa kuzuia wezi kuiba.

Hata pale utakapo ulizwa kuwa "kwa nini hukupiga yowe ili watu waje kutoa msaada kwako?..bado utajibu kuwa,"ningepiga kelele,wezi wangerudi na kuniua mimi,Nakwamba niliamua kufanya hivyo ili kulinda heshima ya wezi ninaowafahamu..ni rafiki yangu mkubwa na mara nyingi ananifadhili fedha na mambo mengi tu.

Majibu hayo ndiyo lowasa amekuwa akitoa kuhusiana na sakata la richmond. hfai kuwa rais wetu.
Share this video :

0 comments:

Post a Comment

 
Support : Creating Website | WILLE Template | GOOGLE
Copyright © 2013. Dj Wille Zedon - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Mas Template
Proudly powered by Blogger