TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA ILI UPATE MAFANIKIO KWA HARAKA ZAIDI

TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA ILI UPATE MAFANIKIO KWA HARAKA ZAIDI
Home » » Mwana Fa aeleza kwanini hafanyi Collabo za Kimataifa..

Mwana Fa aeleza kwanini hafanyi Collabo za Kimataifa..

Collabo za kimataifa zimekuwa zikiwatangaza wasanii mbali zaidi, pia zinafanya msanii aweze kujulikana mbali zaidi.










                  

Mwana Fa ni moja ya wasanii wenye msimamo tofauti kuhusiana na kufanya Collabo za Kimataifa, akizungumza katika Kipindi cha Bongo Fleva cha Clouds Fm Mwana fa amesema:
"Mi nafanya Concious nataka kila mtu anaenisikiliza aelewe ninachosema, na lugha ninayoitumia inafanya watu wanaosilikiliza muziki wangu ukawashika moja kwa moja ni wanaotumia lugha ya Kiswahili watu wa round hii, sioni sababu ya kujihangaisha , kama nitatoka kufanya Featuring nje basi nataka nitoke kama msanii aliyehitajika kutoka bongo sio kwa sababu mi nataka kufanya tu, mi sioni kama ina faida yoyote kwenye
Share this video :

0 comments:

Post a Comment

 
Support : Creating Website | WILLE Template | GOOGLE
Copyright © 2013. Dj Wille Zedon - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Mas Template
Proudly powered by Blogger