TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA ILI UPATE MAFANIKIO KWA HARAKA ZAIDI

TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA ILI UPATE MAFANIKIO KWA HARAKA ZAIDI
Home » » P Square watoa sababu ya kutohudhuria kanisani toka mwaka 2007.

P Square watoa sababu ya kutohudhuria kanisani toka mwaka 2007.

p-square
Mastaa kutoka Nigeria Paul na Peter Okoye wa P Square wameelezea kwanini hawaja hudhuria kwenye nyumba za ibada toka mwaka 2007.
P Square wamesema “kila walivyokuwa wakienda kanisani watu huwatazama na kuwafuatilia kuliko kufuatilia ibada na sala kitu ambacho kinatufanya tujiskia kama tunaharibu ibada za watu. watu wote tuko sawa mbele ya Mungu ndio maana sio sahihi kufanya watu waache sala sababu yetu ”
Share this video :

0 comments:

Post a Comment

 
Support : Creating Website | WILLE Template | GOOGLE
Copyright © 2013. Dj Wille Zedon - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Mas Template
Proudly powered by Blogger