TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA ILI UPATE MAFANIKIO KWA HARAKA ZAIDI

TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA ILI UPATE MAFANIKIO KWA HARAKA ZAIDI
Home » » shilole awatolea uvivu wanao mnyemelea mpenzi wake

shilole awatolea uvivu wanao mnyemelea mpenzi wake


Mwanamuziki nchini Tanzania, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ amewatolea uvivu wanawake wanaomshobokea mpenzi wake kwa kuwapa mkwara mzito endapo wataendelea na tabia hiyo kwani hawajui wametoka wapi.
Hatua hiyo imefikiwa baada ya mwanamke mmoja kujitokeza katika vyombo vya habari na kudai kuwa ana ujauzito wa Nuh Mziwanda, jambo ambalo Mziwanda, alilikanusha na kudai hana mwanamke wa nje zaidi ya Shilole.
 
 Ameandika “Kutoka picha ya kwanza mpaka ya pili sio kaz ndogo aiseee haraf nashangaaa videm from no where vinaanza shobo mamaeeeee zenu kama mnatumwa kufitinisha mapenz yetu mmefeli mimi ndo ashangedere na mim ndo shishi mtoto wa Tabora nimezoea kula ugali sio wa chipsi mayai sasa mtu ajifanye anshobo na baby wangu aje nimuoneshe jinsi majengo ya serikali yanavyogawanywa watu! nampenda mpenz wangu ndo maana namsapot”
Share this video :

0 comments:

Post a Comment

 
Support : Creating Website | WILLE Template | GOOGLE
Copyright © 2013. Dj Wille Zedon - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Mas Template
Proudly powered by Blogger