TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA ILI UPATE MAFANIKIO KWA HARAKA ZAIDI

TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA ILI UPATE MAFANIKIO KWA HARAKA ZAIDI
Home » » Skales asema sio lazima WizKid na Banky W wawepo kwenye album yangu.

Skales asema sio lazima WizKid na Banky W wawepo kwenye album yangu.

skales
Msanii kutoka Nigeria Skales ameonekana kuchoshwa na maswali kuhusu wasanii wenzake wa lebel ya EME kukosekana kwenye album yake mpya “Man of the Year” .
Skales amesema ” Sio lazima Wiz Kid na Banky W wawepo kwenye album yangu, hawakuwepo muda mwingi nilivyokuwa studio na sababu kuwa ni kuwa nilirekodi nyimbo nyingi mapema zaidi.
Mpaka sasa imefahamika kuwa Skales na Wiz Kid hawana maelewano mazuri.
Share this video :

0 comments:

Post a Comment

 
Support : Creating Website | WILLE Template | GOOGLE
Copyright © 2013. Dj Wille Zedon - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Mas Template
Proudly powered by Blogger